Licha ya kuwa na upofu wa macho, hili halijamlemaza mkaazi mmoja kufanya kazi ya ubawabu
16th August, 2014
Wiki mbili zilizopita David Mutahi alitutumbuiza kwa ala yake ya muziki katika sehemu yetu ya Kenya halisi. Licha ya kuwa kipofu, Mutahi alipiga mdomo bata kana kwamba amepata mafunzo kutoka kwa Mzee Ngala lakini akasema alijifunza mwenyewe. Lakini kilichotushangaza zaidi ni kuwa baada ya mahojiano alituambia kuwa yeye ni bawabu huko Thika