Muungano wa Madaktari yapinga hatua ya shirika la ndege kuruhusu safari za Africa Magharibi
14th August, 2014
Wakati muungano wa madaktari nchini ukisema haujaridhishwa na hatua ya shirika la ndege nchini kuruhusu safari za nchi za magharibi mwa afrika kutokana na uwepo wa virusi vya ebola afisa mkuu mtendaji wa shirika la kenya airways amejitokeza na kusema kwamba safari zitaendelea kama kawaida na kuitaja hatua yao hiyo haisukumwi na kutafuta faida.