Serikali kuanzisha shughuli ya kuwasajili wakenya wasiokuwa na vyeti vya za kuzaliwa
13th August, 2014
Serikali inapania kuanzisha shughuli ya kuwasajili wakenya wasiokuwa na vyeti vya za kuzaliwa na vile vya kufariki. waziri wa usalama wa ndani joseph olelenku ameyasema haya huku akiitaja shughuli hiyo kama itakayowasaidia maafisa wa polisi kuboresha usalama baada ya kukamilika kwake katika kipindi cha miezi mitatu ijayo.