Wakina Baba watia mimba mabinti wao na kuwalazimisha kuziavya mimba hizo
7th August, 2014
Huenda sasa haki ikawapita waathiriwa wa dhulma za kimapenzi katika kijiji cha kiliboti katika eneo bunge la lugari.visa vya unyanyasaji wa kimapenzi vimezidi na la kushangaza ni kuwa hatma ya wanaofanya visa hivi husalia mikononi mwa wazee wa kijiji. na kama anavyotuarifu mwanahabari francis ontomwa, wahalifu sasa wamepata njia mpya ya wa kukwepa kufunguliwa mashtaka kortini.