Mwanamke amefura kwenye matiti katika ugonjwa usioeleweka Jijini Kisumu
31st July, 2014
Mwanamke mmoja kutoka kaunti ya siaya amepoteza familia yake baada ya mumewe kumfukuza. kisa na maana ni kuwa mwanamke huyo alipata uvimbe kwenye matiti yake. uvimbe ulioyafanya matiti yake kufika hadi kwenye magoti yake na kuwa mazito ajabu. saida swaleh anaeleza jinsi uvimbe huo ulivyoanza na masaibu ya mwanamke huyo.