×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamke amefura kwenye matiti katika ugonjwa usioeleweka Jijini Kisumu

31st July, 2014

Mwanamke mmoja kutoka kaunti ya siaya amepoteza familia yake baada ya mumewe kumfukuza. kisa na maana ni kuwa mwanamke huyo alipata uvimbe kwenye matiti yake. uvimbe ulioyafanya matiti yake kufika hadi kwenye magoti yake na kuwa mazito ajabu. saida swaleh anaeleza jinsi uvimbe huo ulivyoanza na masaibu ya mwanamke huyo.
.
RELATED VIDEOS