Mahakama ya Juu yaanza kusikiza kesi mfumo wa Digitali nchini Kenya
30th July, 2014
Mahakama ya juu imeanza kusikiza kesi baina ya mashirika ya habari na halmashauri ya mawasiliano inayotaka mashirika ya habari ya Standard Group, Royal Media na Nation Media Group kupewa leseni ya kupeperusha matangazo yao kupitia masafu ya dijitali. kwenye kikao cha leo katika mahakama ya juu, upande wa serikali umeitaka mahakama hio kutupilia mbali uamuzi wa mahakama ya rufaa uliopendelea upande wa mashirika hayo ya habari.ali manzu,alishinda katika majengo ya mahakama na ameanda taarifa ifuatayo.