Familia ya kijana Bukusu aliyemoa msichana wa Kihindi wadai kulipwa mahari
30th July, 2014
Baada ya kukuletea taarifa ya mapenzi baina ya sarika na timothy, mhindi na mbukusu kutoka webuye sasa mambo yamechukua mkondo mwingine siku moja tu baadaye. Familia ya Timothy sasa inataka wakwe zake kuwapa mahari kulingana na mila na desturi za kihindi. Mwanahabari francis ontomwa alirejea tena katika boma hilo na kukuandalia taarifa ifuatayo.