Vijana wavamia kampuni ya ujenzi Utawala wakidhani alihusika kubomoa nyumba zao
29th July, 2014
Mali ya thamani isyojulikana imeharibiwa katika fujo zilizojiri baina ya mmiliki wa kampuni ya ujenzi ya Nyoro na vijana katika eneo la Mihango huko Utawala vijana hao wakivamia na kuharibu mali ya kampuni hiyo baada ya kudaiwa kuwa mmiliki kampuni hiyo alihusika katika kuzibomoa nyumba zao. Kampuni hiyo na kundi hilo la vijana wako na kesi kortini kuhusu umiliki wa ekari 25 za ardhi katika eneo hilo.