Jamii ya wamakonde yandaa mkutano kushughulikia maswala yanayowakera baada ya jamii hiyo kugawanyika
28th July, 2014
Mkutano wa jamii ya wamakonde kutoka msumbiji wanaoishi humu nchini ulitibuka baada ya jamii hiyo kugawanyika pande mbili huku sehemu moja ikidai ajenda za kisiasa kwenye mkutano huo badala ya kushughulikia maswala yanayowakera kama ukosefu wa vitambulisho. Balozi Floriano Maneno ndiye aliyeandaa mkutano huo katika shule ya msingi ya Jomo Kenyatta katika kaunti ya kwale.