Watu wawili wauawa kwa kupigwa risasi huko Mombasa siku tu baada ya shambulizi Likoni
22nd July, 2014
Watu wawili wameuwa katika baa moja, iliyopo katika mtaa wa majengo- sega huko Mombasa. Wahudumu wawili wa kwenye baa hiyo pia walijeruhiwa na kwa kupelekwa hospitali kuu ya mkoa wa pwani kwa matibabu , tukio hili linajiri siku moja tu baada ya watu wanne kuuliwa katika mtaa wa Likoni mjini Mombasa,