Mwanamume atiwa nguvuni baada ya kupatikana na msichana wa umri wa miaka kumi na nne kwenye danguro
22nd July, 2014
Mwanamme wa umri wa miaka 27 ametiwa nguvuni baada ya kupatikana na msichana wa umri wa 14 kwenye nyumba ya malazi huko bomet . Msichana huyo anadaiwa kutoroka kwao siku mbili zilizopita ili kukutana na mwanamme huyo.