×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Cotu yatishia kuandaa mgomo iwapo Francis Atwoli na Jackline Mugo hawatarejeshewa nyadhifa zao

20th July, 2014

Muungano wa wafanyikazi nchini Cotu umetishia kufanya mgomo wa kitaifa ifikapo tarehe nne mwezi Agosti, wa kushinikiza kurejeshwa kwa katibu wake Francis Atwoli na kiongozi wa chama cha waajiri FKE Jacquiline Mugo,kwenye bodi yaNSSF. Akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya cotu, Atwoli amesema kuwa kuna masuala fiche ambayo yanamfanya waziri wa leba kuwaondoa katika bodi ya NSSF, huku akisema kuwa uamuzi wake wa kuandaa mgomo unaungwa mkono na zaidi ya vyama 43 vya wafanyikazi wakiwemo zaidi ya wafanyikazi millioni mbili ambao baadhi yao walifika katika hafla hiyo.
.
RELATED VIDEOS