×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakenya walioleta mabadiliko watuzwa katika tuzo za transform Kenya

20th July, 2014

Tuzo za Transform Kenya Awards zilizoanzishwa na shirika la habari la standard, zitakuwa zikifanyika kila mwaka kwa lengo la kutambua juhudi za watu mbalimbali za kuleta mabadiliko katika jamii. Wakenya tabaka mbalimbali ikiwemo taasisi zilizochangia katika kuleta mabadiliko katika jamii walitambuliwa na kutuzwa kutokana na michango yao muhimu. Benki ya KBC ilitoa ufadhili wa shilingi milioni 15 ili kufanikisha hafla hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Windsor.
.
RELATED VIDEOS