Watu watano wapotea Eastleigh kisha watatu kupatikana katika chumba cha kuhifadhi maiti cha City
19th July, 2014
Hofu inazidi kutanda katika mtaa wa Eastleigh baada ya watu watano kupotea kwa njia zisizoeleweka kisha watatu kupatikana katika chumba cha kuhifadhi maiti cha City. Tatu hao wanakisiwa kunyongwa kwa kamba baada ya hela katika benki zao kutolewa