SRC yawalaumu wabunge wa kaunti kwa matumizi mabaya ya fedha za kaunti
11th July, 2014
Tume ya kuratibu mishahara ya umma SRC imewalaumu wabunge wa kaunti kwa madai ya matumizi mabaya ya fedha kuanzia marupurupu ya vikao, usafiri na hata wafanyikazi waliowaajiri. Seneta wa kaunti ya Nyeri Mutahi Kagwe alieleza kuwa ipo haja ya kupunguza safari za nje kwa wabunge hao kwa kupunguza idadi ya wanaosafiri. lakini kama anayoripoti Francis Mtalaki wabunge hao wa kaunti wameonekana kutia masikio pamba kutokana na lalama wanazolimbikiziwa