Watu wanne wameripotiwa kufariki baada ya kunywa pombe haramu
10th July, 2014
Watu wanane wameripotiwa kufariki katika maeneo mbali mbali kaunti ya nandi baada ya kunywa pombe iliyodaiwa kuwa na sumu huku wengine wakipoteza uwezo wa kuona. Jinsi wananchi hao walivyojitia kwenye balaa iliyowakumba wakenya wengine mwezi mei mwaka huu.