Mkulima amebuni mbinu za kuwafurusha Ndovu kwa shamba
2nd July, 2014
Visa vya ndovu na wanyama wengine wa porini kuwashambulia binadamu na mimea mashambani vinazidi kuongezeka.lakini kijana james kosgei kutoka eneo la rimoi kaunti ya elgeyo marakwet, amevumbua mbinu ya kuwafukuza ndovu kutoka kwenye shamba lake linalopakana na mbuga ya wanyama.lakini ameweza vipi kujiepusha na hasara ya uharibifu wa mimea yake?