Hawamu ya nne ya kampeni ya Niko Fiti imeanzishwa leo
2nd July, 2014
Awamu ya nne ya kampeni ya niko fiti imezinduliwa rasmi mapema hii leo. katika awamu ya mwaka 2014 jumla ya watu 465 wanaoishi na ulemavu watapokea vifaa muhimu. kampeni hiyo inaendeshwa na shirika la kenya-re kwa ushirikiano na shirika la standard group pamoja na muungano wa watu walemavu nchini APDK.