Baraza la gavana lakashifu Vyombo vya Habari kwa ripoti ya pesa za Kaunti
26th June, 2014
Baraza La Magavana limekashifu ripoti iliyotolewa na msimamizi mkuu wa bajeti hapo jana agnes odhiambo, wakisema kuwa fedha zinazodaiwa kutotumiwa zimeratibiwa katika bajeti za kaunti. mwenyekiti wa kamati ya magavana inayosimamia kilimo nderitu gachagua, amesema kuwa vyombo vya habari vinatoa habari tofauti huku wakenya wakiamini kuwa fedha hizo zitarejeshwa katika serikali kuu. na kama anavyoarifu mwanahabari mohamed mahmoud, ujenzi wa miundo misingi na huduma bora kwa wapiga kura bado umesalia nyuma.