Vijana watumia sanaa kubadili tabia ya wanajamii
25th June, 2014
Mbali na sanaa kupigiwa debe kama njia mbadala ya taaluma na ajira miongoni mwa jamii, kuna kikundi cha wasanii mtaani pipeline hapa jjini nairobi wanaoitumia sanaa kuyabadilisha maisha ya vijanaa waliokuwa wahalifu. baadhi ya vijana hao sasa wamejitwika maadili mema miongoni mwa jamii kupitia mabadiliko hayo. mwanahabari wetu lofty matambo anaarifu.