Dawa ghushi zapatikana kwenye msako uliofanywa na bodi ya dawa na sumu katika mtaa wa Kayole
9th June, 2014
Maafisa kutoka bodi ya sumu na madawa wamefanya msako mtaani Kayole na kuwakamata watu thelathini wanaouza madawa ghushi huku wengi wakikosa vyeti vya kuwaruhusu kuuza dawa kwa umma .