wakaazi kujua iwapo wapendwa wao ni miongoni mwa waliokuwa wawamezikwa kitengela
18th May, 2014
Tangu kupatikana kwa kaburi la miili isiyojilikana siku ya ijumaa eneo la kitengela, wakaazi ambao jamaa na marafiki waliokuwa wamepotea, walisubiri kujua iwapo wapendwa wao ni miongoni mwa wale waliokuwa wawamezikwa. Kamishna wa kaunti ya kajiado amesema huenda wahusika wakuu wa mauaji hayo ni jamaa waliojihusisha na uuzaji wa ardhi iliyo na utata eneo hilo