Tangu mwaka jana ni visa 150 tu vya dhulma vilivyoripotiwa kupitia idara tofauti
13th May, 2014
Kulingana na ripoti ya visa vya dhulma iliyotolewa na shirika la kimaitaifa la kutetea haki za kibinaadamu amnesty international. Na hata pale visa hivyo vinavyoripotiwa, hapana sheria mahsusi ya kufuatilia kesi hizo.