Kaunti ya Taita Taveta kuadhimisha miaka 100 tangu vita vya kwanza dunia
13th May, 2014
Kaunti ya Taita Taveta inajiandaa kuadhimisha miaka 100 tangu vita vya kwanza ulimwenguni kuanza mwaka 1914. Sehemu ya taita ilitumiwa kama eneo la maficho kwa wanajeshi wa ukoloni ambao miongoni mwao walifariki.serikali ya kaunti hiyo itaongoza sherehe hizo.