Baadhi ya walowezi wa Embobut wavuja fedha walizopewa kununua ardhi
24th February, 2014
“Mchumia juani hula kivulini” ndio kauli ya mama mmoja kaunti ya Elgeyo Marakwet baada ya kupokea fidia ya shilingi 401,000 na kuamua kuhama msitu wa Embobut lakini kama anavyo ripoti Francis Mtalaki kuna wale walizifuja fedha zao walizolipwa kama fidia ya kuhama kutoka ardhi ya msitu na kusalia hawana mbele wala nyuma.