×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mtoto aliyeibwa na kupelekwa Juba, Sudan Kusini hatimaye arudishwa nchini

21st February, 2014

Maafisa wa Ubalozi wa Kenya na wale wa Sudan kusini wamemrejesha humu nchini mtoto mmoja aliyeibiwa kutoka humu nchini na kupelekwa Sudan Kusini akiwa na umri wa siku nne pekee. Mtoto huyo ambaye amekuwa Sudan Kusini kwa muda wa miezi minne alipokelewa hii leo katika uwanja wa kimataifa wa jkia na maafisa wa serikali huku mshukiwa mmoja akikamatwa kuhusiana na uhalifu huo.
.
RELATED VIDEOS