Kichinjio cha punda chajengwa Naivasha
19th February, 2014
Je mtazamaji unafahamu kuwa nyama ya punda ni halali kisheria na haina madhara yoyote kiafya? Kauli hii ni ya wataalam wa mifugo na wakaguzi wa nyama hata baada ya wengi kujitokeza hii leo kupinga kufunguliwa kwa kichinjio cha punda hapo jana mjini Naivasha . Wengi wa wakenya wametoa maoni yao ya ni kwa nini hawangetaka kuila nyama ya punda .