Maswali yaibuka iwapo hela zinazopewa wasiojiweza kujikimu zinawatosha
8th February, 2014
Siku mbili tu baada ya serikali kuongeza pesa za kuwakimu watu wasiojiweza miongoni mwao wazee . Kumeibuka maswali iwapo hela zinazopewa akina nyanya na akina babu kujikimu zinawatosha kulingana na mahitaji yao? Hii ni baada ya kubainika kuwa baadhi ya akina nyanya na babu hao ni walezi walioachiwa wajukuu hii hapa taarifa kuhusu akina nyanya kutoka Nyeri waliofaidi mpango huo na jinsi gani wamepanga kutumia hela zao kila mwezi.