×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima walalamikia gharama ya uzalishaji chai na soko duni

29th January, 2014

Inakisiwa kuwa chai ndio kinywaji maarufu sana hapa Kenya na japo majani chai yanakuzwa katika pembe mbalimbali humu nchini hususan katika maeneo baridi,kiwanda cha chai kinachosaga chai tamu na bora zaidi nchini ni kiwanda cha Gathuthi katika eneo bunge la Tetu katika kaunti ya Nyeri. Chai ya Gathuthi inasifika kwa ubora wake na wakulima zaidi ya 8,000 ambao huvuna majani chai na kuyawasilisha katika kiwanda cha Gathuthi, huzingatia kanuni wanazoagizwa kufuata kuanzia upanzi hadi uvunaji.
.
RELATED VIDEOS