Wabunge wa Jubilee watoa maoni yao kuhusu kushambuliwa kwa Wetangula
11th January, 2014
Wabunge wa mrengo wa jubilee wamemshutumu seneta wa Bungoma Moses Wetangula kwa kile walichokitaja kama kubuni na kueneza uvumi kwamba kuna njama ya kutaka kumuua. Kwa upande wake Wetangula amepuuzilia mbali semi za wanasiasa hao akisema kuwa zimepitwa na wakati pamoja na kuzitaja kama semi za siasa duni