×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakongwe kutoka eneo la Nyeri waunganana pamoja kuanzisha mradi wa kufuga kuku ili kujikimu kimaisha

9th January, 2014

Watu ambao wamestaafu hujipata katika maisha mapya wasiyoyazoea na hili huwaathiri kimawazo na hata kifedha. Lakini kundi moja la wakongwe kutoka eneo la Nyeri wameungana pamoja baada ya wao kustaafu na kuanzisha mradi wa kufuga kuku kama njia mojawapo ya wao kujikimu kimaisha .
.
RELATED VIDEOS