Wakongwe kutoka eneo la Nyeri waunganana pamoja kuanzisha mradi wa kufuga kuku ili kujikimu kimaisha
9th January, 2014
Watu ambao wamestaafu hujipata katika maisha mapya wasiyoyazoea na hili huwaathiri kimawazo na hata kifedha. Lakini kundi moja la wakongwe kutoka eneo la Nyeri wameungana pamoja baada ya wao kustaafu na kuanzisha mradi wa kufuga kuku kama njia mojawapo ya wao kujikimu kimaisha .