Umuhimu wa jina unalompa mtoto anapo zaliwa
4th January, 2014
Kila mtoto anapozaliwa jambo la kwanza huwa ni kumpa jina.Lakini je unajua maana ya jina ulilopewa? Wengi wamedai kuwa majina anayopewa mtoto huwa na athari maishani mwake kuanzia utotoni hadi anapokuwa mtu mzima.Agnes Penda ametafuta maoni ya wengi kuhusu maana ya majina hasa majina ya ukoo na yale yanayopeanwa kwa kuzingatia tamaduni na kutuandalia taarifa ifuatayo.