Vijana wakusanya pembe za ngombe na kutumia kutengeneza shanga ili kujipa riziki
4th January, 2014
Kuna msemo kwamba akili ni nywele na hakuna asiye na zake, maana kwamba mtu akiwa na maarifa hakosi njia ya kujikwamua kutoka hali ngumu maishani.kundi moja la vijana kutoka Nyeri limetafuta njia ya kujipa riziki ya kila siku kutoka kwa bidhaa ambazo wengi hupuuza, pembe za ngombe.wanatumia pembe hizo kutengeneza vitu kama vile shanga na vipuli.tunampisha.