Wakulima sasa waanika mahindi katika uga wa Kipchoge baada ya ujenzi kusita
4th January, 2014
Mji wa Eldoret unasifika duniani kote kwa kutoa wanariadha stadi.lakini kinyume na sifa hiyo mji huo hauna uwanja kwani uga wa Kipchoge umesalia kama gofu baada ya ujenzi kusita.Wakulima sasa wanatumia uwanja huo kuanika mahindi huku viongozi wakitizama bila kusema lolote.