Waliorejeshwa kutoka Sudan waandamana wakiitaka serikali kuwapa fedha kuanzisha maisha yao
3rd January, 2014
Mazungumzo yanayolenga kusitisha mapigano nchini Sudan kusini yamekwama jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.serikali ya Sudan kusini inasema muungano wa igad unapaswa kuwapa maelezo muhimu kuhusu kundi wanalojadiliana nalo kabla mazungumzo kuanza.humu nchini wakenya .waliorejeshwa nchini kutoka Sudan kusini wameandamana wakiitaka serikali kuwapa fedha kuanzisha maisha yao upya