Baada ya makala ya janga la mauti Marsabit bunge yaitisha ripoti
7th November, 2013
Kufuatia makala ya jangwa la mauti tuliyokuletea kwenye KTN Leo, yaliyoangazia mauti ya wakaazi wa kaunti ya Marsabit kutokana na ugonjwa wa saratani, wizara ya afya imeandaa ripoti kuhusu jinamizi hilo na kuifikisha mbele ya kamati ya bunge kuhusu afya