Moses Wetangula tosha, ndio azimio la viongozi wa Magharibi
12th October, 2013
Moses Wetangula tosha. Ndio azimio la viongozi wa Magharibi, linaloonekana habari njema kwa Wetangula atakapoingia katika kinyanganyiro cha Disemba kutetea tena kiti chake cha useneta wa Bungoma. Uchaguzi wa Wentagula ulibatilishwa na mahakama baada ya mpinzani wake Musikari Kombo kuwasilisha kesi mahakamani.