Sanamu za viungu vya binadamu zanaswa
10th October, 2013
Mtazamaji, ni sanamu zipi unazopenda? Unazitumia kwa njia gani au kunufaika vipi? Ndiyo maswali yanayochipuka baada ya makasha 40 yaliyobeba sanamu za viungo vya binadamu na nyingine za kishetani kama vichwa na mikono ya binadamu kunaswa mombasa zikiwa zimetoka uchina. Uchunguzi wa awali unamhusisha mwanasiasa wa humu nchini na shehena hiyo ambayo stakabadhi zilisema ni vyombo vya nyumbani. Je ni sanamu tu au zina kauli fiche? John juma anaripoti.