Mashindano ya ngamia Samburu
2nd September, 2013
Kwa miaka mingi jamii za wafugaji zimekumbwa na changamoto ya wizi wa mifugo ambao umesababisha mauaji ya wengi. Kutokana na ukosefu wa usalama unaoletwa na wizi wa mifugo, mashindano ya kimataifa ya ngamia yaliandaliwa katika mji wa Maralal ili kuhimiza amani miongoni mwa jamii za kaskazini mwa nchi. Mashindano hayo yalivutia washiriki 27 wa kimataifa. Mary Kilobi ana taarifa kamili.