Kenya yaangaziwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu
15th May, 2013
Serikali ya Kenya leo iliwekwa kikaangoni, kuhusiana na masuala ya ukiakaji wa haki za binadamu. Katika kongamano la kimataifa huko geneva uswizi, kenya ilikosolewa kuhusiana na namna ilivyokabiliana na mauaji huko tana, mathare, ghasia za na ghasia za baada ya uchaguzi.