×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Machifu waachizwa kazi Garissa

26th April, 2013

Huku serikali ikiendelea kuwa ngangari kumaliza mauaji garissa, machifu saba wamesimamishwa kazi, kufuatia msururu wa mauaji katika kaunti hiyo. Hatua dhidi ya machifu hawa inafuatia operesheni kali ilianzishwa mapema wiki hii kuwasaka wahalifu ambao wamekuwa wakisababisha mauaji bila ya hofu, na huku garissa ikiendelea kushuhudia misako, kaunti ya nyeri jamaa ya jamaa ya joseph maina ndung’u ilikuwa inampa buriani. Ndu’ngu alikuwa mmoja wa watu 10 waliouawa katika shambulizi la hivi majuzi garissa.
.
RELATED VIDEOS