×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali yawaonya wanaoeneza chuki kwenye mtandao

15th March, 2013

Serikali imekiri kuwa inakumbwa na changamoto nzito za kudhibiti semi za chuki katika mitandao ya kijamii. Katibu katika wizara ya habari na mawasiliano Bitange Ndemo, amesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wa mashirika ya kijamii, wanachukua fursa na kutumia mitandao ya kijamii kusambaza propaganda na semi za uchochezi. Hatahivyo,ndemo anasema kwamba serikali haitatumia njia zilizopitwa na wakati kuwaziba watumizi wa mitandao lakini watawataka watoaji huduma za mitandao kuhakikisha wanatumia anwani maalum kusaidia kuwatambua wahalifu hao.
.
RELATED VIDEOS