Mwanamke ajenga majeneza kupata riziki
25th August, 2012
Wanawake wengi wamesalia nyumbani bila ajira au kufanya biashara, pengine kutokana na dhana kuwa mwanamke anapaswa kuwa mlezi na mwangalizi wa nyumba , hata hivyo kuna wao ambao wamepiga moyo konde na kuamua kufanya kazi ambazo zinadhaniwa kuwa za waume, tunaangazia juhudi za mwanamke mmoja kujitosa katika ulimwengu wa ujenzi wa majeneza kisa na maana riziki ya kila siku tega sikio