×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamii yadai kitoweo cha punda milia hili wakubali kuhesabiwa

25th August, 2012

Je mtazamaji, ni kitu gani kinachoweza kukushawishi ili uweze kushiriki katika zoezi la kitaifa la kuhesabu watu? Naam, nchini Tanzania, watu kutoka jamii ya kuwinda ya Wahadzabe imeshurutisha serikali ya Tanzania kuwaandalia kitoweo cha nyama ya punda milia ili waweze kushiriki kwenye zoezi la kitaifa la kuhesabu watu linaloanza usiku wa jumapili. Awali, jamii hiyo ilikuwa imependekeza ipewe mlo wa nyani pamoja na pombe kali haramu ijulikanayo kama ‘gongo’ lakini wakuu wa serikali wakadinda. Mwanahabari wetu Patrick Amimo ana mengi.
.
RELATED VIDEOS