Hisia za Ujerumani kuhusu washukiwa wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu
20th August, 2012
Serikali ya Ujerumani imepaaza hisia zake kuhusiana na hatma ya washukiwa wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu. Hii ni kufuatia hatua ya washukiwa 2 wakuu katika mahakama ya ICC kuwepo katika kinyanganyiro cha urais mwakani. Wakizungumza huko Naivasha,mawaziri wa serikali ya Ujerumani wamesisitiza kwamba ni sharti washukiwa wote waangukiwe na mkono wa sheria. ali manzu anaarifu zaidi.