Wizi Wa Shilingi Milioni 13.9
8th August, 2012
Charles Oteruk Chebon, mfanyikazi wa kampuni ya Wells Fargo amefikishwa kotini hii leo baada ya kushtakiwa kumuibia mwajiri wake shilingi milioni 13.9 hapo jana. Charles alikuwa akisafirisha pesa hizo kutoka Eldoret ili zipelekwe kwenye benki ya afrika tawi la Nairobi,hata hivyo anadai kupokonywa pesa hizo. Mwanahabari Saida Swaleh na taarifa hiyo.