×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mazungumuzo Ya UASU Na Serikali

1st August, 2012

Vyama vya kutetea masilahi ya wafanyikazi wa Vyuo Vikuu vya kitaifa vimeilaumu Serikali kwa kuchelewesha makusudi mazungumzo ya kutekeleza nyongeza ya mishahara na marupurupu yao. Waziri wa Elimu ya Juu Prof. Margaret Kamar hata hivyo hii leo ameanzisha rasmi mazungumzo hayo, huku akikumbana na wakati mgumu kutoka kwa viongozi wa Kitaifa wanaowawakilisha wafanyikazi hao wanaowalaumu manaibu wakuu wa vyuo vikuu kwa kupuuza haki za wafanyikazi. Frank Otieno na taarifa hiyo.
.
RELATED VIDEOS