×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Moi kwa mazishi ya mkwe wake Elma Tungo Birir

14th July, 2012

Jamaa na marafiki waliuungana kwa pamoja na rais aliyestaafu Daniel Arap Moi kwa mazishi ya mkwe wake Elma Tungo Birir katika kijiji cha Kipsogon wilayani Mogotio kaunti ya Baringo . Sifa zilimininiwa kuhusu maisha ya elma zikiwemo kama mpenda watu,mcha mungu na vile vile aliyekuwa mshauri haswa kwa wanawe, wajukuu majirani na marafiki kwa ujumla.
.
RELATED VIDEOS