Moi kwa mazishi ya mkwe wake Elma Tungo Birir
14th July, 2012
Jamaa na marafiki waliuungana kwa pamoja na rais aliyestaafu Daniel Arap Moi kwa mazishi ya mkwe wake Elma Tungo Birir katika kijiji cha Kipsogon wilayani Mogotio kaunti ya Baringo . Sifa zilimininiwa kuhusu maisha ya elma zikiwemo kama mpenda watu,mcha mungu na vile vile aliyekuwa mshauri haswa kwa wanawe, wajukuu majirani na marafiki kwa ujumla.