Misa ya Wafu ya Maafisa wa Polisi
18th June, 2012
Baada ya taifa kumzika waziri Prof. George Saitoti na naibu wake Orwa Ojode, leo ilikuwa ni zamu ya maafisa wanne walioaga dunia kufanyiwa ibada takatifu katika kanisa Katoliki la Holy Family Basillica hapa jijini Nairobi. Waziri Mkuu Raila Odinga alikariri kuwa serikali itahakikisha uchunguzi kuhusu ajali hiyo unaharakishwa. Frank Otieno na taarifa hiyo