Wanafunzi washiriki mbio kuhamasisha kuhifadhi misitu
13th June, 2012
Msitu wa mlima Kenya sasa utajengewa ua litakaloendeleza uhifadhi wa msitu huo sawia na ua ambalo linatunza msitu wa aberdares kwa sasa. Watoto mia sita kutoka shule 60 zinazopakana na msitu wa Aberdares walihusika kwenye mbio za kupokezana vijiti kama njia mojawapo ya kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi misitu. Carol Nderi na taarifa kamili